• This is default featured slide 1 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by NewBloggerThemes.com.

  • This is default featured slide 2 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by NewBloggerThemes.com.

  • This is default featured slide 3 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by NewBloggerThemes.com.

  • This is default featured slide 4 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by NewBloggerThemes.com.

  • This is default featured slide 5 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by NewBloggerThemes.com.

Jumatatu, 10 Agosti 2015

Kama unajenga ofisi na pesa inaruhusu… tazama hizi picha labda utapata idea!

office 1Ofisi au kijiwe chako cha kujikusanyia kipato kinatakiwa kuwa rafiki yako, yaani kiwe na mazingira ambayo unayakubali na ya kirafiki zaidi hata kwa mgeni au mteja wako.
Ukiangalia wenzetu wamekua na uwezo wa kutengeneza vitu vizuri ambavyo hata wakati mwingine sio vya gharama kubwa lakini vina muonekano mzuri utaomvutia hata mgeni au mteja.
o3Ambacho nimekigundua kwenye ofisi hizi nyingi nilizokutana na picha zake ni kwamba kuta nyingi za ofisi zimetenganishwa kwa vioo na pia furniture zimetengenezwa na kuuacha uasili wake zaidi kuliko kufanyia finishing.
o2
o6
Hii inawafaa wale wanaojenga mall ndogondogo au wenye maduka ndani ya majengo au sehemu zenye usalama.. kuna uwezekano vibanda kama hivi vikajengwa kwa kutumia mbao na vioo na ukapata mvuto kama huu na wa kisasa na hata gharama isiwe kubwa sana na kikaweza kuhamishika au kuwa chepesi unapotaka kufanya mabadiliko ya muonekano.
o7
o8
o9
o10
o11
Hii inafaa kwa wale watu wangu wenye ufinyu wa nafasi kwenye ofisi zao, kwenye mistari miwili ya upande wa kulia unaweza kupanga team na upande wa kushoto ukamaliza na wakuu wa Idara, nimeikubali sana kwenye upande pia wa Taa, na meza za mbao.
o12
o13
Reception inaweza kuwa simple lakini yenye ubunifu mkubwa sana, tazama kuanzia meza ilivyo na rangi moja, ukuta wa mbao, taa zake juu na sakafu…. nzuri sana

o14

o15

o16

o18

o19

o20

o21

o23

o24
o25
CHANZO CHA HABARI MILLARDAYO.COM
Share:

Alhamisi, 14 Mei 2015

ALIKUWA ANATAKA KUPIGA PICHA YA SELFIE NA ALIPANDA JUU YA TREN LAKINI HIKI NDO KILIMTOKEA BAADA YA KUPANDA JUU ...

anna
Upigaji wa picha za selfie Umeendelea kupata umaarufu kila siku duniani kutokana na kazi ya teknolojia inayozidi kukua.
Kila mtu anatamani kuwa na simu ya Smartphone ili tu aweze kupata urahisi wa mawasiliano pamoja na upigaji wa picha hizo.
Hii imetokea kule Romania baada ya binti wa miaka 18 Anna Ursu na wenzake kujaribu kupiga picha juu ya treni inayotembea ili wapate picha ya selfie ya kipekee lakini kilichotokea ni kingine baada ya kupigwa na shoti ya umeme wakiwa juu ya treni hiyo.
anna
Anna Ursu akiwa juu ya treni baada ya kupigwa na shoti ya umeme
Wasichana wawili walibahatika kuokolewa na kukimbizwa hospitali lakini mwili wa Anna Ursu ulikua umeuungua kwa kiasi kikubwa huku wenzake wakiwa na majeruhi machache na baada ya muda kidogo alifariki.
Madaktari wamesema kwamba Anna alipigwa na shoti ya umeme na nyaya zilizokua zimepita juu wakati wa tukio hilo la picha na kusababisha volt 27,000 kutembea kwenye mwili wake na kusababisha mwili wake kua kama transfoma ya umeme hivyo kua ngumu kupona kwa kuwa alikua na uwezo wa kumlipua mtu yoyote atakaye mgusa.
Share:

SOMA NA KUTANA NA HABRI ZILIZO BEBA HEADLINE KWENYE MAGAZETI YA LEO...

MagzNakukutanisha tena na stori kubwa za Magazeti kutoka kwenye kila kilichoandikwa na Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye udaku, michezo na hardnews ambapo stori nyingine kubwa iliyopewa nafasi kwenye page ya kwanza ni habari ya Rais wa Burundi kupinduliwa madarakani.
DSC02507
DSC02509
DSC02533DSC02534
DSC02510
DSC02511
DSC02512
DSC02513
DSC02514
DSC02515
DSC02516
DSC02517
DSC02518
DSC02520
DSC02521
DSC02522
DSC02523
DSC02524
DSC02525
DSC02526
DSC02527
DSC02528
DSC02529
DSC02530
PIA USISAHAU KULIKE PAGE YA FACEBOOK SAMERICK BLOG NA KWA KUPATA MENGINE ZAIDIDSC02531

Share:

HIZI NI DALILI 10 ZA MWANANUME AMBAYE AMEFULIA KWA MPENZIWE........

MWLabda inawezekana unazijua dalili chache za Mwanaume aliyefulia lakini kuna nyingine za ziada kutoka kwa Mike Tee, ukishazisoma hizi niambie unakubaliana nayo kwa asilimia ngapi au dalili zipi hapa umeshawahi kukutana nazo?
MIKE TEE MAY 13 2015 DALILI ZA MWANAUME ALIYEFULIA
Share:

MATUKIO YA VIDEO

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support

Sample Text