• This is default featured slide 1 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by NewBloggerThemes.com.

  • This is default featured slide 2 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by NewBloggerThemes.com.

  • This is default featured slide 3 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by NewBloggerThemes.com.

  • This is default featured slide 4 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by NewBloggerThemes.com.

  • This is default featured slide 5 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by NewBloggerThemes.com.

Alhamisi, 16 Aprili 2015

BREAKING NEWS: MWANAMUZIKI PERCY SLEDGE AAGA DUNIA

Mwanamuziki chapa 'Soul' aliyevuma kote duniani kutokana na utunzi wake ''When a Man Loves a Woman'',Percy Sledge ameaga dunia.
BBC.CO.UK
CHANZO CHA HABARI BBC.CO.UK
Share:

Alhamisi, 9 Aprili 2015

HII NDO LIST YA MAKOCHA WAKUBWA DUNIANI AMBAO INASEMEKANA WANALIPWA MSHAHARA MKUBWA ZAIDI.

morList ya makocha wa mpira wa miguu wanaoongoza kwa kulipwa vizuri kwenye soka mpaka sasa ambapo namba 1 imechukuliwa na Pep kama unavyoona list nzima hapa chini
1. Pep Guardiola
Pep Guardiola, Bayern Munich manager
Huyu ni kocha wa Bayern Munich, ameitumikia timu yake kwa mafanikio makubwa huk akiisaidia kupata mataji mbalimbali, ndiye kocha anayeongoza kwa kulipwa mshahara mkubwa kuliko wote kwa kupokea kiasi cha dola milioni 24
2. Jose Maourinho
mor
Huyu ni kocha wa Chelsea ambaye anajulikana kwa kuwa na maneno mengi,kwa sasa yupo mbioni kuwania ubingwa wa ligi kuu ya England, ni kocha anashika nafasi ya pili kwa kulipwa kiasi kikubwa cha pesa na hupokea kiasi cha dola milioni 17.
3. Marcello Lippi
macelo
Ana mchango mkubwa kwenye Timu ya Taifa ya Italy na kufanikiwa kutwaa kombe la dunia mwaka 2006, anapokea kiasi cha dola milioni 14.
4. Fabio Capello
capelo
Huyu ni kocha wa timu ya Taifa ya Russia, anapokea kiasi cha dola milioni 13
5. Carlo Ancelotti
carlo
Huyu ni kocha mkuu wa Real Madrid, anapokea kiasi cha dola milioni 10.5.
6. Arsene Wenger
Arsene Wenger, Manager of Arsenal
Amekuwa kocha wa Arsenal toka mwaka 1996, na anapokea kiasi cha dola milioni 10.
7. Gerardo Martino
gera
Huyu ni kocha wa Argentina, anapokea kiasi cha dola milioni 7.5.
8. Jurgen Klopp
jurge
Huyu ni kocha wa Borrusia Dortmund, anapokea kiasi cha dola milioni 6.
9. Manuel Pellegrini
pele
Huyu ni kocha wa Manchester City, anapokea kiasi cha dola milioni 5.75.
10. Jorge Jesus
benfic
Huyu ni kocha wa klabu ya Benefica tangu mwaka 2009, anapokea kiasi cha dola milioni 5.5
Share:

Leo kasikika Dayna.. Linex kuhusu video yake kutopigwa MTV na TRACE.. Ngoma mpya ya Young Dee kutoachiwa… #255

trill-entertainment-logo

Jana tumeisikia ngoma mpya ya Dayna Nyange aliyomshirikisha Nay Wa MitegoNitunze’ leo kupitia story za kiburudani zaidi za 255 amezungumzia ishu ya wasanii wa kike kuwashirikisha wasanii wa kiume kwenye ngoma zao.
DSC_1122
Dayna Nyange.
Dayna amesema inategemea na msanii anaimba kitu gani, idea nyingi wanaimba kuhusu mapenzi kwa hiyo wanaamua kuwashirikisha wasanii wa kiume ili kuwakilisha pande zote mbili.
Kumbe Dayna ana list ya wasanii wake anaowaangalia sana kwa sasa.. anayaangalia mafanikio yao pia, yuko DiamondAYOmmy Dimpoz, Nay Wa Mitego… KamtajaVanessa Mdee pia kwa upande wa wasanii wa kike.
d-2Mkali mwingine kwenye 255 ni Linex kulalamikia video yake kukosa airtime kwenye kituoMTV na Trace Tv.. Kasikika tena leo kwenye 255, Linex amesema anachukulia kama changamoto kwa video yake kushindwa kuchezwa kwenye vituo hivyo.. haijamkatisha tamaa, atafanya video nyingine ambayo atahakikisha ina vigezo vya kuchezwa kwenye vituo hivyo.
Kuhusu ishu hiyohiyo ya Linex, Meneja wa Tip Top Connection Babu Tale amesema kukataliwa kwa video hiyo na vituo hivyo ni jambo la kawaida kwa sababu wana vigezo vyao wanavyoangalia kama ilivyo kwa vituo vingine hapa nchini, wakikuta video haina vigezo hivyo hawawezi kuicheza.
babu1-640x360Kuhusu video za Madee, Chege na Temba nazo kutochezwa kwenye vituo hivyo amesema alipeleka ila haikuwa kwenye ukubwa waliokuwa wanautaka.. Tale amesema anategemea kutuma tena kwenye ukubwa wanaoutaka ili zianze kuchezwa.
Young DEE
Rapper Young Dee.
Rapper Young Dee amesema ameshindwa kuachia ngoma yake mpya kama alivyoahidi kutokana na tour yake ya ‘Ongea na Young Dee’ anayoendelea kuifanya kwa kuzunguka mikoa mbalimbali.. kwa sasa anaangalia jinsi ya kukaa na Management yake na kuamua siku ya kuiachia ngoma hiyo.
Bonyeza play kusikiliza story zote za 255 leo…
Share:

LEO SOUDY BROWN KASOGEZEWA LIST YA WASANII WANAOVUTA SIGARA #U HEAD......

032612-health-racial-discrimination-cigarette-smokingWatu wamemfikishia Soudy Brown list ya wasanii ambao wanavuta sigara BONGO.. waliotajwa ni JCB, Linex, Vee Money, AYTuddy ThomasMzee MagariSuka naAdam Mchomvu.
Baada ya kupata list hiyo Soudy alitaka kuujua, akamtafuta msanii Maunda Zorroambae amesema ni kweli anavuta sigara ila havuti kila siku.. Maunda amesema alianza kuvuta muda mrefu, kwa siku anaweza kuvuta mpaka sigara tatu.
Soudy akahamia kwa staa wa Bongo Movie, JB.. yeye amejibu hivi; ” afu wewe ulishasikia mimi navuta sigara? lini ulishasikia navuta sigara?”– JB. IMESABABISHWA NA Millardayo.com
Kusikiliza story yote bonyeza play hapa chini…
Share:

BAADA YA AJALI YA TANGA ,HII NYINGINE MOROGORO LEOLEO.....R.I.P KWA WOTE WALIOPOTEZA MAISHA

IMG-20150409-WA0015Mara nyingi stori za aina hii huanza kusambaa kwenye mitandao ya kijamii, baadae unaona RADIO na TV nazo zinaanza kuripoti.. Siku ya leo APRIL 9 watu walianza kusambaziana picha za ajali iliyotokea Tanga, mabasi mawili ya abiria na gari dogo yamegongana, watu 10 wamefariki na wengine kujeruhiwa.. kabla siku haijaisha naipokea hii nyingine kutoka Morogoro.
Basi la Kampuni ya Happy Nation lenye namba T 618 BDN lililokuwa likitokea Dar es Salaam kuelekea Mbeya limepata ajali hiyo eneo la Mikumi, Morogoro.. taarifa za awali zinasema watu wawili wamefariki na wengine kujeruhiwa.
IMG-20150409-WA0013

Chanzo cha ajali hakijafahamika, naifuatilia hii kwa ukaribu.. kitakachonifikia nitakusogezea hapa muda wowote mtu wangu.
IMG-20150409-WA0014
IMG-20150409-WA0015
#RIP kwa watu wetu waliofariki kwenye ajali hiyo, pole kwa waliopata majeraha pia.
Share:

BAADA YA AJALI YA TANGA ,HII NYINGINE MOROGORO LEOLEO.....R.I.P KWA WOTE WALIOPOTEZA MAISHA

IMG-20150409-WA0015Mara nyingi stori za aina hii huanza kusambaa kwenye mitandao ya kijamii, baadae unaona RADIO na TV nazo zinaanza kuripoti.. Siku ya leo APRIL 9 watu walianza kusambaziana picha za ajali iliyotokea Tanga, mabasi mawili ya abiria na gari dogo yamegongana, watu 10 wamefariki na wengine kujeruhiwa.. kabla siku haijaisha naipokea hii nyingine kutoka Morogoro.
Basi la Kampuni ya Happy Nation lenye namba T 618 BDN lililokuwa likitokea Dar es Salaam kuelekea Mbeya limepata ajali hiyo eneo la Mikumi, Morogoro.. taarifa za awali zinasema watu wawili wamefariki na wengine kujeruhiwa.
IMG-20150409-WA0013

Chanzo cha ajali hakijafahamika, naifuatilia hii kwa ukaribu.. kitakachonifikia nitakusogezea hapa muda wowote mtu wangu.
IMG-20150409-WA0014
IMG-20150409-WA0015
#RIP kwa watu wetu waliofariki kwenye ajali hiyo, pole kwa waliopata majeraha pia.
Share:

BAADA YA AJALI YA TANGA ,HII NYINGINE MOROGORO LEOLEO.....R.I.P KWA WOTE WALIOPOTEZA MAISHA

IMG-20150409-WA0015Mara nyingi stori za aina hii huanza kusambaa kwenye mitandao ya kijamii, baadae unaona RADIO na TV nazo zinaanza kuripoti.. Siku ya leo APRIL 9 watu walianza kusambaziana picha za ajali iliyotokea Tanga, mabasi mawili ya abiria na gari dogo yamegongana, watu 10 wamefariki na wengine kujeruhiwa.. kabla siku haijaisha naipokea hii nyingine kutoka Morogoro.
Basi la Kampuni ya Happy Nation lenye namba T 618 BDN lililokuwa likitokea Dar es Salaam kuelekea Mbeya limepata ajali hiyo eneo la Mikumi, Morogoro.. taarifa za awali zinasema watu wawili wamefariki na wengine kujeruhiwa.
IMG-20150409-WA0013

Chanzo cha ajali hakijafahamika, naifuatilia hii kwa ukaribu.. kitakachonifikia nitakusogezea hapa muda wowote mtu wangu.
IMG-20150409-WA0014
IMG-20150409-WA0015
#RIP kwa watu wetu waliofariki kwenye ajali hiyo, pole kwa waliopata majeraha pia.
Share:

HAYA SASA MAAJABU NA HII ILIMUACHA MWANAMKE MMOJA HOI HUKO KENYA BAADA YA KUMFUMANIA MAMA AKIWA NA MTOT WAKE......

news_largeVisa vya fumanizi vimeripotiwa tena.. hii imetoka Kenya, mwanamke amelalamika kwamba alimfumania mume wake na mwanamke ambaye alikuwa akimfahamu kuwa ni mama wa kambo wa mume wake.
Mama huyo ambae hana mahali pa kuishi amesema mume wake alimtelekeza pamoja na mtoto wake mdogo Nairobi.
Nikaona hapana.. hii maisha ya kuteseka sitaweza kuteseka na mzee wangu yupo ikabidi nikaja hapa Nakuru.. nikamfuata nikamkuta akiwa kwa mama yake.. wanaishi pamoja na mama yake” ; — alisema mwanamke huyo aliyemfumania mume wake.
Mwanamke huyo amesema alishangaa kuona anakaribishwa na mwanamke ambae alimfahamu kama mama wa kambo wa mume wake.
Vile alikuja akaingia tena mama akatandika vizuri kitanda wakalala kijana na mama yake.. wakalala kwa kitanda mimi nikatandikiwa chini nikalala.. asubuhi aliamka kutoka hapo vile aliamka akaenda, mimi hakunisemesha”; aliendelea kulalamika mwanamke huyo.
Sikiliza taarifa hiyo iliyoripotiwa na kituo cha K24 kwa kubonyeza hapa chini…
Share:

BONDIA WA MWISHO KUMPIGA FLOYD MAYWEARTHER ETI HANA HATA TV!!!!!!!!(www.samerick.blogspot.com)

3d person decide problem
Floyd Mayweather anazungumziwa sana.. Bondia mkali.. ana mbwembwe zake nyingi tu kila siku, labda unajua kwamba Mayweather hajawahi kupoteza pambano hata moja tangu mwaka 1996 kwenye michezo ya Olimpiki, lakini unamjua bondia aliyempigaMayweather yuko kwenye hali gani sasa hivi.
Usishtuke kuambiwa jamaa ni maskini na anaishi kwenye mazingira magumu sana tofauti na mnyonge wake wa zamani, Mayweather!!
Historia inamkumbuka Serafim Todorov, raia wa Bulgaria.. bondia wa mwisho kumshinda Mayweather, wenye hizi taarifa toka nyumbani kwake kabisa wanasema jamaa hana hata flat screen.. hiyo sio tatizo.. unaambiwa kwa sasa anaishi kwa kupokea pensheni ambayo ni kama dola 435 kwa mwezi, sawa na 810,000/= kama ingekuwa BONGO.
.
Serafim Todorov
Leo hii dunia inasubiri May 2 2015 kumuona Floyd Mayweather na Manny Pacquiaowakiwa ulingoni, pambano ambalo limeingia kwenye record kuwa pambano la hela nyingi zaidi kutokea duniani.. Kama ikitokea Mayweather akapigwa kuna macho ambacho yatarudisha kumbukumbu nyuma na kumcheki mbabe wa mwisho kumpigaMayweather nae akakaa kwenye headlines kubwa kwa mara nyingine.
Floyd
Ni kawaida kumuona Floyd Mayweather akiringisha pesa zake.
Share:

MATUKIO YA VIDEO

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support

Sample Text