List ya makocha wa mpira wa miguu wanaoongoza kwa kulipwa vizuri kwenye soka mpaka sasa ambapo namba 1 imechukuliwa na Pep kama unavyoona list nzima hapa chini
1. Pep Guardiola

Huyu ni kocha wa Bayern Munich, ameitumikia timu yake kwa mafanikio makubwa huk akiisaidia kupata mataji mbalimbali, ndiye kocha anayeongoza kwa kulipwa mshahara mkubwa kuliko wote kwa kupokea kiasi cha dola milioni 24
2. Jose Maourinho

Huyu ni kocha wa Chelsea ambaye anajulikana kwa kuwa na maneno mengi,kwa sasa yupo mbioni kuwania ubingwa wa ligi kuu ya England, ni kocha anashika nafasi ya pili kwa kulipwa kiasi kikubwa cha pesa na hupokea kiasi cha dola milioni 17.
3. Marcello Lippi

Ana mchango mkubwa kwenye Timu ya Taifa ya Italy na kufanikiwa kutwaa kombe la dunia mwaka 2006, anapokea kiasi cha dola milioni 14.
4. Fabio Capello
5. Carlo Ancelotti
6. Arsene Wenger
7. Gerardo Martino
8. Jurgen Klopp
9. Manuel Pellegrini
10. Jorge Jesus













0 maoni:
Chapisha Maoni