Kama uko ndani ya Dar najua wewe ni shuhuda pia wa kile ambacho umekutana nacho kwa siku tatu mfululizo, mvua inanyesha na kukatika tangu May 5 2015.
Tayari kuna watu wetu ambao wamekumbwa na mafuriko kutokana na mvua, nimepita maeneo ya Jangwani, Mchikichini na Kigogo.. Hizi ni baadhi ya picha hali ilivyo maeneo hayo.
CHANZO CHA HABARI MILLARDAYO.COM
0 maoni:
Chapisha Maoni