
Tofauti na magari mengine ambayo yanaweza kujiendesha yenyewe, hili ni lazima dereva awepo pembeni kama kawaida ila akishaliruhusu kujiendesha lenyewe anaweza kuendelea na kazi zake za pembeni kama kupanga safari zijazo na mengine ya kawaida lakini anakua macho kwa kinachoendelea barabarani kama inavyoonekana kwenye picha ya kwanza.
Ni gari ambalo linaweza kujiongoza kwa msaada wa Radar sensors and cameras ambapo japo hawajasema muda kamili wa gari hili kuanza kufanya kazi, imeripotiwa kwamba haitachukua muda mrefu kuingia barabarani.

0 maoni:
Chapisha Maoni