
Nana Richard Abiona
maarufu kama FUSE ODG ambae ni Muingereza mwenye asili ya Ghana, ni
staa mwingine ambae ana rekodi zake kwenye list ya mziki mkali wa Afrika
2013/2014.
Baada ya kufanya muziki na mastaa wa dunia kama Wyclef Jean kwenye ‘Antenna‘ ambayo ilishika mpaka nafasi ya 7 kwenye chart za muziki UK na ‘Azonto‘ iliyochukua mpaka namba 30 kwenye chart hizo
0 maoni:
Chapisha Maoni