Jumanne, 29 Julai 2014

NI LONG TIME HUJAWASIKIA P SQUARE SASA TAZAMA KICHUPA HIKI NI BONGE YA KOLABO

Screen Shot 2014-07-29 at 4.58.20 AM 

Labda inawezekana ni utaratibu waliojiwekea P Square ambao pamoja na kwamba huonekana mara chache wakiwa wameshirikishwa kwenye nyimbo na Wasanii wengine wachache wa Afrika, huwa inatokea mara chache sana.
Miongoni mwa wachache waliopata nafasi ya kufanya kolabo na P Square ni huyu mshkaji anaitwa Phyno na video yenyewe ndio hii hapa chini.
https://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=JUJ9EkExLEg#t=0
Share:

0 maoni:

MATUKIO YA VIDEO

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support

Sample Text