• This is default featured slide 1 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by NewBloggerThemes.com.

  • This is default featured slide 2 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by NewBloggerThemes.com.

  • This is default featured slide 3 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by NewBloggerThemes.com.

  • This is default featured slide 4 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by NewBloggerThemes.com.

  • This is default featured slide 5 title

    Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by NewBloggerThemes.com.

Ijumaa, 28 Februari 2014

HAYA SASA KUTOKA BONGO

Wasanii wazindua kampeni ya kitaifa kuishinikiza serikali kuwatambua katika katiba


Leo asubuhi  (February 28) pande za Kinondoni Vijana Social Hall kulikua wasanii wa fani mbalimbali waliokuwa wamekusanyika kwa ajili ya kuzindua kampeni ya kitaifa maalum kwa ajili ya kuishinikiza serikali kuwatambua wasanii kikatiba.
Licha ya kuwa na shinikizo hilo lakini pia kutakuwa na  maandamano ya amani wanayotarajia kuyafanya ikiwa ni sambamba na kumpongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kumteua mmoja wao (hajafahamika bado) washiriki kuhudhuria katika bunge la katiba.
tumepiga na nikki wa pili moja kati wasanii waliopo mstari wa mbele kwenye movement hii


"Tumezindua kampeni yetu ya kitaifa kushinikiza serikali itambue wasanii kama kundi maalum kwenye jamii na kuingizwa kwa haki bunifu katika katiba hizo ndio hoja zetu mbili tunazozipigia kelele" amesema Nikki wa Pili 
lakini pia ameendelea kusema "Tutafanya maandamano na kumfahamisha Raisi Jakaya Kikwete kuwa sekta ya ubunifu inaingiza mapato kuliko sekta ya Nishati na Madini ambayo inajadiliwa kila siku bungeni, lakini sekta ya ubunifu imesahaulika" 



Nikki pia amezungumzia azimio wanalotaka kuliweka 

"Tunataka kufanya azimio la kuhakikisha kuwa eidha siku moja au wiki nzima kazi yoyote ya sanaa isiskike kwenye media, Radio Tv magazeti, naposema sanaa kuanzia mziki, katuni, graphics chochote, na kama ni mziki hata mziki wa nje usipigwe maana sisi hapa ni mabalozi wa wasanii wengine duniani, ili watu watambue mchango wa wasanii na watusikilize"




Share:

MUHIMU KUSOMA nA PIA MAOMBI YAKO YA HITAJIKA

MTOTO Adolotea Njavike(1.4) ambae Kichwa na Kiwiliwili vimeungana baada ya kupata na ajali ya Moto akiwa na mama yake Mzazi.


Mama Mkubwa wa Mtoto huyo, Salome Kiegu(35) mkazi wa Mtaa wa Maendeleo Iyunga Jijini Mbeya anasema Mtoto huyo akiwa na mama yake walipata janga la moto katika mazingira ya kutatanisha waliangukia kwenye moto ambapo Mtoto huyo aliungua vibaya.

Joseph Mwaisango wa Mbeya yetu akiwa amempakata mtoto huyo
Baadhi ya waandishi wa habari wakiongea na mama mkubwa wa mtoto huyo

--

MTOTO Adolotea Njavike(1.4) anaomba msaada wa matibabu kutoka kwa wasamaria wema ili aweze kufanyiwa upasuaji kutokana na Kichwa na Kiwiliwili kuungana baada ya kupata na ajali ya Moto akiwa na mama yake Mzazi.

Akizungumza kwa masikitiko Mama Mkubwa wa Mtoto huyo, Salome Kiegu(35) mkazi wa Mtaa wa Maendeleo Iyunga Jijini Mbeya anasema Mtoto huyo akiwa na mama yake walipata janga la moto katika mazingira ya kutatanisha waliangukia kwenye moto ambapo Mtoto huyo aliungua vibaya.

Anasema tukio hilo lilitokea Mwaka jana Mwezi wa Nane lakini alipopatiwa matibabu katika kituo cha afya mtoto huyo aliungana ngozi ya kidevu na kifua hali inayomletea shida ya kula na kufurahi na wenzake.

Anasema tangu kipindi hicho alimchukua mtoto huyo kwa mama yake na kuanza kuomba msaada wa matibabu baada ya kumpeleka katika Hospitali ya Ikonda iliyoko Makete Mkoani Njombe ambapo Wataalamu walimwambia atafute Shilingi Milioni Moja ili mtoto wake aweze kutibiwa.

Ameongeza kuwa baada ya muda wataalamu hao walimwambia asubiri Wazungu kutoka Ulaya ambao wataweza kumtibia mwanaye ambapo baada ya kusubiri kwa muda kidogo Wazungu hao walifika na kumcheki Mwanaye kisha kumwambia wao hawana utaalamu isipokuwa aende CCBRT Dar Es Salaam ambako ataweza kutatuliwa tatizo lake.

Aidha kutokana na kuambiwa hivyo Mama huyo anaomba msaada kutoka kwa wasamaria wema ili aweze kumpeleka Mtoto wake kwa matibabu kutokana na kutokuwa na uwezo wa kuweza kusafiri hadi DSM pamoja na gharama za matibabu kuwa kubwa.

Amesema anahitaji zaidi ya shilingi Milioni 2 ili ziweze kumsaidia kusafiri kugharamia matibabu pamoja na huduma za Kawaida kipindi atakachokuwepo Jijini Dar Es Salaam wakati akisubiri matibabu ya Mwanaye.

Mtu yeyote mwenye kuguswa na tatizo hilo anaweza kuwasiliana moja kwa moja na Mama huyo kupitia simu yake ya Mkononi namba 0752 986879 au Nyumbani kwake Iyunga Mtaa wa Maendeleo Jijini Mbeya.


Share:

Ni juu ya Chelsea kuilinda heshima ya Ligi Kuu ya Uingereza ....!(WWW.SAMERICK.BLOGSPOT.COM)


CHELSEA_51384.jpg
Manchester City 0-2 Barcelona, Arsenal 0-2 Bayern MunichOlympiakos 2-0 Manchester United, Chelsea ?-? Galatasaray.
Haya, mpaka sasa timu zote za Uingeresa zimefungwa magoli mawili kwa bila katika ligi ya mabingwa. Sawa, Arsenal na Man City walifungwa na timu bora Ulaya, lakini, Manchester United kufungwa na Olympiacos ni aibu!
Ndio, Ligi ya Mabingwa ni ligi ya vilabu bora duniani, lakini, dunia ya soka inaamini kwamba Ligi Kuu ya England ni ligi bora duniani.
Ligi Kuu ya England ni ligi bora kwa kuwa kuna timu nyingi nzuri, lakini haimaanishi kwamba vilabu katika ligi hii ni vilabu bora duniani.
Ligi hii ni nzuri kwa sababu hakuna klabu yenye kiwango kikubwa sana kuliko vilabu vingine. Kwa mfano, msimu huu sijapata furaha sana kuangalia ligi ya Ujeruman, ni kwa kuwa Bayern Munich wamefikia kiwango cha kimpira ambapo hakuna timu ambayo inaweza kushindana nao! Nafurahi kwamba hakua timu kama Bayern Munich katika Ligi Kuu ya England, ni kwa kuwa wangefanya kusiwepo na ushindani katika ligi hiyo.
Hata hivyo, bado ni ajabu kwamba hakuna klabu ambayo itawakilisha Ligi Kuu ya England katika hatua ya tatu ya Ligi ya Mabingwa.
Usiku huu Chelsea wanacheza dhidi ya Galatasaray. Ukilinganisha na Arsenal na Man City, Chelsea hawajapata mpinzani mkubwa. Lakini, ikumbukwe kwamba Galatasaray waliwatoa Juventus katika hutua ya kwanza.
Pia shujaa wa zamani wa Chelsea, Didier Drogba anacheza dhidi ya klabu yake ya zamani. Naamini, kwamba mchezaji huyu atafanya kila anachoweza kuifunga timu yake ya zamani. Mwaka 2012 Chelsea ilikuwa timu pekee ya Uingereza ambayo ilifuzu hatua ya tatu ya Ligi ya Mabingwa.
Sitashangaa kama watakuwa timu pekee kutoka Ligi Kuu ya Uingereza kufuzu hatua ya tatu katika msimu huu pia.
Olle,Sweden. (R.M)
Share:

ZANZIBAR TEEEEEEEENAA

MLIPUKO WATOKEA ZANZIBAR SOMA HABARI KAMILI


Mji wa kitalii wa Zanzibar wa Stone Town ambako raia wawili wa Uingereza wamemwagiwa tindi kali
Ndugu zangu,
Nimepokea kwa mshtuko na masikitiko habari juu ya matukio ya milipuko ya mabomu mawili ya kutengenezwa nyumbani; moja jirani na kanisa na lingine kwenye mgahawa ambao pia ni maarufu kwa watalii wa kigeni. Hakuna aliyepoteza maisha.
Naungana na ndugu zetu wa Zanzibar kulaani vitendo hivi vya kishenzi na vyenye kutishia uhai wa raia wema na wasio na hatia.
Na hakika, habari hizi hazitoi taswira njema ya Zanzibar na nchi yetu kimataifa. Tayari habari za tukio la mabomu limesharipotiwa kwenye vyombo vya habari kimataifa, http://www.dn.se/nyheter/varlden/bomber-exploderade-pa-zanzibar/,hivyo basi, ni athari mbaya ya moja kwa moja kwa biashara ya utalii ambayo pia ni moja ya mihimili ya uchumi wa Zanzibar.
Ni matumaini yetu, kuwa wahusika na ulipuaji wa mabomu hayo watasakwa popote walipo na kutiwa nguvuni.
Maggid,
Iringa.(P.T)
Share:

HAYA SASA MAKUBWA KIJANA PNC

cheki picha pamoja na video yake ikionesha msanii wa kizazi kipya anayejulikana kama PNC akiomba msamaha kwa OSTADH JUMA NA MUSOMA



video icheki kupitia https://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=ijR7ZTwbGLg
 H akika kama mambo yenyewe ndo haya wasanii wetu wanashuka thaman yao maana mambo haya nikuzalilishana kabisa
Share:

Jumatano, 19 Februari 2014

KITU KIPYA CHA BELLE 9

Download Belle 9 Ft. Baby Madaha - Sababu Ni Moja

Ujio mwengine tena wa Belle 9, sasa amerudi na Sababu ni moja akishirikiana na Baby Madaha
Fanya kuisikiliza then utupe maoni yako.
Share:

BRAND NEW FROM P SQUARE

Brand New Single: PSquare - Taste The Money (Testimony)

djfatty at DJ Fetty - 1 week ago
PSquare wamedondosha mzigo mpya *Taste The Money* (Testimony) fanya kuusikiliza its more about music industry and social issues in and out of bongo land
Share:

RASH

RASH RECORDS YATOA NAFASI KWA WASANII

Rash records kutoka pande za tabata zina leta ukomboz wa sana ya muzik wa bongo fleva ikiwa imeanza na msanii mwenye staili ya kipekee na jina la kipekee aitwaye Manyut na baada ya huyo kufanya poa sasa ya toa nafasi kwa msanii yeyote anayejijuwa ni mkali. Ili kufika studio na kusikilizwa kama utafanya poa itafanyika ngoma na utafanyiwa promo ya radio.
Mawasiliano - 0714 854 590
Share:

HABARI MUHIMU]

ALICHOANDIKA DIAMOND BAADA YA MSIBA WA BABA YAKE WEMA SEPETU



Share:

DJ FETTY NDAN YA NYUMBANI LONG AKITOA BURUDANI

TAZAMA DJ FETTY AKITOA BURUDANI NDANI YA AMBASSADOR LOUNGE AKISINDIKIZWA NA MULLY B NA DJ ZERO


                                                                     Dj Fetty
                                                 


                                                      B Twelve,DeeAndy,Adamu mchomvu
                                                           Adam Mchomvu,Fetty,Chid Benz
                                                            Fetty akiwa na marafiki zake
                                                                          Dj Zero
                                                                        Dj Muli B
                                                    Antu Mandoza,Mchomvu na rafiki
                                                                Lady Haha na Perfect
                                                          Millard,Lady Haha na Perfect


                                                                 Izzo Bizness na Perfect
                                                       
                                                              Perfect akiwa na Junior
                                                               
                                                                  Ncha kali na Fetty
                                                              Fetty,Mishy,DeeAndy
                                                             Junior na Millard ayo
                                          Mchomvu,Antu Mandoza,Izzo Bizness,Fetty,Roma

                                                          Fetty akiwa na marafiki zake
                                                               Fetty,Dj Venture,Perfect
                                                              
Share:

QUEEN DARLEEN ADONDOKA NA SINGLE YAKE KALII NA MPYA WANATETEMEKA

Brand new Single: Queen Darleen feat Shilole - Wanatetemeka

Kwa kupitia biti la Shilole a.k.a Shishy Baby, "Nakomaa na Jiji", Queen Darleen amepita muemule na kudondosha pini linaloitwa "Wanatetemeka" akiwa na Shilole mwenyewe..fanya kuisikiliza hapa.

Share:

MSANII CHIPUKIZI NA NGOMA YAKE MPYA

Brabd New Single: Kilonya - Black Wa Uswazi

Blackwa uswazi leo hii amedondosha pini ambalo liko tofauti kabisa na tulivyomzoea....


Share:

PICHA ZA MASTAA WAKIWA NA MHESHIMIWA RAIS

Share:

Jumatatu, 17 Februari 2014

HILI NDO BALAZA JIPYA LA MAWAZIRI

BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI



  • Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyarandu.
  • Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe.
  • Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Hussein Mwinyi.
  • Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi , Taitus D Kaman..
  • Waziri wa Fedha, Mipango na Uchumi, Saada Mkuya Salimu
  • Waziri wa Afya Seif Selemani Rashidi




MAWAZIRI WADOGO

 Waziri Mdogo - Fedha Adam Malima

Waziri Mdogo -Afya Kebwe


Mhagama Waziri Mdogo -  Elimu  Mhagama

Waziri Mdogo Watoto Kinana Mama -Pindi Chana

Waziri Mdogo  - Mifugo Telele

Waziri Mdogo Ardhi Simbachawene 

Waziri Mdogo wa Maji Makala

Kilimo Waziri Mdogo Godfrey Zambi 

Waziri Mdogo Habari  - Juma Mkamia 

Waziri Mdogo Mali Asilia Na Utalii    -  Mgimwa 
Waziri Mdogo Madini Kitwanga 







- Hakuna Mabadiliko Ofisi ya Rais 
 

 - Ofisi ya Makamu Wa Rais - Naibu Waziri Kitwanga amehamishwa na nafasi yake imejazwa na Mhe. Ali Mwalimu 

- Mwigulu Nchemba amekuwa Naibu Wizara ya Fedha (Sera). Aliyekuwa nafasi hiyo sasa ni Waziri Kamili 

- Uchumi na Mapato sasa anatoka Janet Mbene na inajazwa na Adam Malima 

-Asha Rose Migiro sasa ni Waziri wa Katiba na    Sheria 

- Ulinzi na Kujenga Taifa  - Hussein Mwinyi 

- Mambo ya Ndani - Mathias Chikawe 

- Afya na Ustawi wa Jamii - Naibu wake sasa ni Waziri Kamili; naibu wa sasa ni Dr. Kebwe S. Kebwe 

- Mulugo ameondoshwa rasmi serikalini. Nafasi yake imejazwa na Jenista Muhagama 

- Pindi chana amejaza nafasi ya Ummi Mwalimu - Jinsia na watoto 

- Mifugo na Maendeleo ya Mifugo - Titus Kamani atakuwa Waziri mpya. Naibu ni Telele na hivyo Wizara nzima imepata mawaziri wapya 

- Ole Medeye OUT - Simbachawene kachukua nafasi yake (Naibu wa Prof. Tibaijuka) 

- Naibu Kilimo - Zambi 

- Habari - Naibu ni Juma Nkamia 

- Nyalandu amekuwa Waziri Kamili. Naibu ni Mahmood Hassan Mgimwa 

- Muhongo na Naibu wake wamebakizwa. Nishati atachukua Charles Kitwagwa akiichukua toka kwa Simbachawene

Dr. Lengeya Kamani Waziri wa Mifugo
Share:

HABARI MOTOMOTO KUTOKA CLOUS

CLOUDSMEDIA BRINGS VU MOBILE IN TANZANIA

OTT solutions provider Visual Unity Global is expanding its vuMobile platform into Africa after signing a new partnership agreement with Tanzanian media conglomerate Clouds Media.
Tomas Petra (l) of Visual Unity with Joseph Kusaga of Clouds Media.
Designed to rapidly mobilise mobile businesses and empower partners and resellers, the vuMobile platform will be white labelled, allowing subscribers to create mobile optimised websites in a fast and effective way, under the Clouds Media brand.
In a country where nearly 80% of all internet access is carried out via a mobile phone, this partnership between Visual Unity Global and Clouds Media will bring significant benefits to the local business community. With the vuMobile platform, local companies will now have access to mobile optimised websites offering a highly intuitive and user friendly experience.
Tomas Petru, CEO of Visual Unity Global, said: “By collaborating with Clouds Media we are helping to rapidly grow our web services for mobile devices in the Tanzanian market. Together with Mobile Money, vuMobile will complement the m-commerce offering of local SMBs.”
Using vuMobile, businesses in Tanzania will have access to the latest website building technologies such as HTML 5/CSS 3 and Responsive Design. Moreover, the platform also enables an m-commerce presence, robust media streaming capabilities and QR codes.
Joseph Kusaga, Managing Director at Clouds Media, said: “This partnership with Visual Unity will allow us to bring the most relevant and latest technologies to Tanzania, so that we can better serve our clients.”
Gabriel Dusil, Chief Marketing and Corporate Strategy officer at Visual Unity Global, adds: “In Tanzania, as in many parts of Africa, a company’s mobile presence plays a critical role in establishing new revenue streams. vuMobile™ helps businesses to generate new subscribers, retain existing customers, and stand out from competitors.”
You might also like:
SATELITE BROADBAND ARRIVES IN TANZANIA
TEN RICHEST AFRICAN MUSICIAN
OBITUARY OF THE LATE NELSON MANDELA
THE BEST
Share:

MATUKIO YA VIDEO

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support

Sample Text