Alhamisi, 13 Februari 2014

  Ile single iliyokuwa ikisubiriwa kwa ham , leo hii imedondoka kwenye maskio yako.Mkali wa R&B kipenzi cha akina dada, Ben pol leo hii ameachia mzigo wake mpya chini ya mkono wa producer Fundi Samweli "Unanichora"  akiwa na Joh  Makini




Ngoma hii ni true story katika maisha ya Ben Pol  na amesema siku zote anapata tabu sana kufanya ngoma juu ya kitu ambacho hajakipitia katika maisha yake.

"Siku zote nafanya ngoma kutokana na nilicho experience katika maisha yangu, napata tabu sana katika kuandika ambacho sijakipitia katika maisha yangu. Ngoma hii ni true story na ndio maana  nimetumia maneno marahisi sana ili ni potray kitu ambacho nataka watu kiwafikie. na ilivyokuwa na hivyo hivyo yaani very straight, un ampenzi wako kuna watu hawapendi mapenzi yenu, wanaongea sana, ndio marafiki zake, na sometimes anashindwa kuonana na wewe kwasababu yao yaani vitu kama hivyo.
Share:

0 maoni:

MATUKIO YA VIDEO

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support

Sample Text