RASH RECORDS YATOA NAFASI KWA WASANII
Rash records kutoka pande za tabata zina leta ukomboz wa sana ya muzik
wa bongo fleva ikiwa imeanza na msanii mwenye staili ya kipekee na jina
la kipekee aitwaye Manyut na baada ya huyo kufanya poa sasa ya toa
nafasi kwa msanii yeyote anayejijuwa ni mkali. Ili kufika studio na
kusikilizwa kama utafanya poa itafanyika ngoma na utafanyiwa promo ya
radio.
Mawasiliano - 0714 854 590
Mawasiliano - 0714 854 590
0 maoni:
Chapisha Maoni