Jumapili, 2 Machi 2014

HAYA WIVU WA MAPENZI WASABABISHA MAAFA SOMA HII

v

AMUUA MKE WAKE KWA AJILI YA WIVU WA MAPENZI

MKAZI MMOJA WA KIJIJI CHA GAMA WILAYANI BAGAMOYO MKOA  WA PWANI AMEMUUA MKE WAKE KWA AJILI YA  WIVU WA KIMAPENZI.

Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Bwana Ulrich Matei  amethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo amemtaja mwanaume huyo kuwa ni muinjilisti wa kanisa la Agrikana  huko kijijini Gama .

Aidha Kamanda  Matei amesema siku ya tukio  hilo  muinjilisti huyo alitoka nyumbani  akiwa na mkewe na mtoto wao Sabrina mwenye umri wa miaka 10 na kuelekea porini kwa ajili ya kukata miti ya kuchoma mkaa.

Hata hivo kamanda Matei amesema  wakiwa porini walimtuma mtoto wao nyumbani, baada ya mtoto huyo kuondoka ndipo Muinjilisti alichukuwa panga na kumkata mkewe na kisha yeye kujinyonga hadi kufa.
Share:

0 maoni:

MATUKIO YA VIDEO

Kumbukumbu la Blogu

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support

Sample Text