Ijumaa, 14 Machi 2014

KITU BRAND NEW

Brand New Single: Haina noma - Julio feat Chege na Madee


Sikiliza single mpya ya aliekuwa mshiriki wa BBA 2013 kutoka Tanzania,Julio ambayo amemshirikisha Chege pamoja na Madee huku akiwa amerecord chini ya mkono wa producer Jobanjo ambae ametengeneza hit ya Makomando (Kibaba baba) na hata hii inayofanya vizuri kutoka kwa Msami 
(Sound Track).

Julio amesema hii ndio single yake ya Kwanza kama yeye maana zingine ni zile ambazo ameshirikishwa.
"kama unakumbuka ile Waters Upniliyofanya na Luchi ilikuwa ni Luchi and Julio na hii ya kina Country Boy nimeshirikishwa tu, so hii ndio single yangu ya kwanza na nimewashirikisha Madee na Chege inaitwa "Haina Noma."amesema Julio
Share:

0 maoni:

MATUKIO YA VIDEO

Kumbukumbu la Blogu

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support

Sample Text