Jumatano, 3 Desemba 2014

EPL:MATOKEO YA MANCHESTER UNITED VS STOKE CITY HAYA HAPA......

Ratiba ya ligi kuu ya England imeendelea leo kwa michezo kadhaa kupigwa usiku wa leo katika viwanja tofauti nchini Uingereza.
Wakitoka kupata ushindi wao dhidi Hull City, Manchester United leo iliwakaribisha Stoke City kwenye uwanja wao Old Trafford katika mechi ambayo imeisha hivi punde.
Matokeo ya mechi hiyo ni ushindi wa 2-1 kwa vijana wa Louis Van Gaal – ukiwa ni ushindi wao wa nne mfululizo kwa mara ya kwanza baada ya kipindi cha miezi 12.
Magoli ya Maroune Fellaini na Juan Mata yalitosha kuendelea kuwamairisha Manchester United katika nafasi ya 4 wakiwa na pointi 25.
Share:

0 maoni:

MATUKIO YA VIDEO

Kumbukumbu la Blogu

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support

Sample Text