Jumanne, 23 Desemba 2014

PATA KUSIKILIZA MAGAZETI YA LEO DECEMBER 23 KUPITIA POWERBREAK FAST YA CLOUDS FM........

812844618_8bd80bafedKama hukusikiliza Magazeti yakisomwa  hewani leo Desemba 23, yako hapa nimekurekodia unaweza kusikiliza  yakichambuliwa na  Paul James, kutoka kwenye kipindi cha Power Breakfast.
Habari kuhusu hatua aliyoichukua  Rais Jakaya Kikwete, dhidi ya Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Prof Anna Tibaijuka, imeonekana kutawala Magazeti yote ya leo.
88.5 Clouds Fm inasikika ukiwa Dar es Salaam.
Bonyeza play kusikiliza.
Share:

0 maoni:

MATUKIO YA VIDEO

Kumbukumbu la Blogu

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support

Sample Text