Ijumaa, 12 Desemba 2014

MSHINDI WA BBAHOTSHOT AMEHUSIKA LEO KWENYE U HEAD YA CLOUDS FM NA SOUD BROWN SIKILIZA HAPA...........................

IdrisKwenye U Heard ya leo December 12 amesikika Idris ambaye ni mshindi wa mashindano ya BBAHotshots mwaka 2014.
Soudy Brown alimtafuta Idris na kumuuliza kuhusiana na story ambazo zimeenea kwamba kiasi cha pesa alichoshinda sio chote atakachopatiwa, ila kutakuwa na 18% ambayo inatakiwa ikatwe ya kodi.
Idris amesema hajui chochote kuhusu masuala ya kodi hiyo, ila yeye anachokijua ni kwamba ameshinda kiasi cha dola laki tatu, alipoulizwa kama kiasi hicho cha pesa alichoshinda ameshakabidhiwa Idris alisema hawezi kuzungumzia hilo kwa sasa.
U Heard iko hapa unaweza kuisikiliza.
Nitakufikishia kila story inayonifikia mtu wangu,
Share:

0 maoni:

MATUKIO YA VIDEO

Kumbukumbu la Blogu

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support

Sample Text