Waandishi wa habari,mashabiki na wadau wa muziki jioni ya Dec 02 walipata nafasi ya kuuliza maswali mbalimbali kwa Diamond Platnumz ambaye ameingia mchana wa leo na kutoa nafasi hiyo jioni.
Miongoni mwa vitu alivyovizungumza Diamond kwenye mkutano wake huu alisisitiza umoja kwa wasanii wa Tanzania ili kufikia nafasi ambazo nchi zingine kama Nigeria zimefika za kusimamisha wasanii wengi kwa pamoja.
Moja ya mistari yake amesema>>‘Tulivyofika Nigeria nilikuwa najiona kama mkiwa,Nikiangalia huku simuoni hata Jaguar,huku siwaoni wasanii wenzangu namtafuta Dimpoz simuoni hata Ally simuoni yaani niko peke yangu’.
CHANZO CHA HABARI NA MILLARDAYO.COM
Bonyeza play kusikiliza.
0 maoni:
Chapisha Maoni