
Kupitia
ukurasa wa Facebook wa member aliyekua akiwakilisha East Coast Team
Mwana Fa amepost picha ya Gari inayomuonyesha Mrisho Mpoto ‘Mjomba’
akiwa kaegemea gari ya kifahari,bado watu wamekua na maswali kuhusu gari
hiyo kama ni ya Mrisho Mpoto.

Juu
ya maandishi ya post hiyo Mwana Fa aliandika ‘unaleta Mchezo na Mjomba
sio’ Bado hakuna jibu la moja kwa moja kuhusu gari hiyo
millardayo.com
inamtafuta Mrisho Mpoto kupata uhakika wa taarifa hizi ambazo
zimesambaa kupitia picha hiyo ya gari aliyoonekana nayo aina ya Toyota
Prado New Model rangi nyeusi.
0 maoni:
Chapisha Maoni