
Tano bora Redds Miss Iringa

Washindi
wa Redds Miss Iringa katikati ni Martha John Redds Miss Iringa 2014,
Kulia ni Foe Mkuchu mshindi wa 3 na Jilian Joel kushoto redds miss
Iringa no. 2

Foe Mkuchu mshiriki wa Redds Miss Iringa akipita na vazi la ubunifu.
Meneja wa TBL mikoa ya Iringa, Ruvuma na Njombe Raymond Degera akimkabidhi redds miss iringa no 3 Foe Mkuchu zawadi yake.
0 maoni:
Chapisha Maoni