

Duru zinasema kuwa Meriam Ibrahim aliyejifungulia jela alikuwa anajiandaa kuondoka nchini Sudan pamoja na familia yake mpaka sasa haijajulikana kwa nini alikamatwa na karibu watu arobaini waliokuwa wamavalia mavazi ya kiraia siku moja tu baada ya kuachiliwa kuambatana na uamuzi wa mahakama ya rufaa.
Meriam alikamatwa mara ya kwanza mwezi Februari na kujifungulia mtoto wake wakike akiwa jela baada ya kuhukumiwa.
0 maoni:
Chapisha Maoni