
#AMPLIFAYA #June262014 #10 Vifo elfu 35 vya saratani kwa mwaka Tanzania vinachangiwa pia na mafuta ya kula yanayokaa juani sana #Bungeni
#AMPLIFAYA #June262014 #9 Ni watanzania 113 wamefungwa gerezani nchini Brazil kutokana na kesi za dawa za kulevya.
#AMPLIFAYA #June262014 #8 Imegundulika pia katika aina 19 za Shisha zilizopigwa marufuku Kenya, zimechanganywa na Cocaine na kuberi.
#AMPLIFAYA #June262014 #7 Miongoni mwa Shisha 19 zilizopigwa marufuku Kenya ni pamoja na Nakhala Molasses Tobacco Apple na Formulated Shisha.
#AMPLIFAYA #June262014 #6 Sophia Simba: ‘Ukeketaji umekithiri Manyara 71%, Dodoma 64% na Singida 51%.. Dar na Pwani wameanza kukeketa pia’
#AMPLIFAYA #June262014 #5 Suarez aadhibiwa kutocheza kwa miezi minne kutokana na kumng’ata Giorgio Chiellini kwenye World Cup.
#AMPLIFAYA #June262014 #4 Wachezaji timu ya taifa Ghana Sulley Muntari na Kevin Boateng wamefukuzwa kwenye timu hiyo kwa ukosefu wa nidhamu.
#AMPLIFAYA #June262014 #3 Uhuru wa Kenya ndio Rais anayejishughulisha zaidi kwenye Twitter barani Afrika, kampiku Kagame. -BBC
#AMPLIFAYA #June262014 #2 John Mnyika: ‘Kama msemaji wa CHADEMA, natoa wito kwa msajili wa vyama vya siasa aweke wazi ripoti za vyama vyote vya siasa’
#AMPLIFAYA #June262014 #1 CHADEMA kuhusu walioandamana jana >> ‘wengine wamefukuzwa muda mrefu, wengi wao sio hata Wajumbe wala Wanachama’
0 maoni:
Chapisha Maoni