
miongoni mwa watu ambao walihudhuria ni pamoja na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete,ilianza kusomwa dua nyumbani kisha baada ya dua kukamilika ilianza safari ya kuelekea kwenye makaburi ya Segerea sehemu ambayo aliomba mwenyewe Mzee Small kuwa kama akifa azikwe hapo.
Hizi ni baadhi ya picha za mazishi ya Mzee Small.









0 maoni:
Chapisha Maoni