Jumamosi, 22 Novemba 2014

ALICHOKIJIBU FLAVOUR KUHUSU SWALA LA KUINGIA KWENYE NDOA

IMG_2624Story kubwa inayozungumziwa kwenye ulimwengu wa burudani katika mitandao ya kijamii kwa wiki hii inayoisha kuhusu albam ya Msanii kutoka Nigeria, Flavour inayoitwa ‘Thankful’ ambayo imeuza mamilioni ya copy ndani ya wiki moja.
Huku akiwa anapromote albam hiyo, Flavour alipata nafasi ya kuzungumzia kuhusu anachokiangalia kwa sasa baada ya kupata mafanikio makubwa kupitia albamu hiyo, unajua alijibu nini kuhusu kuoa?
.. Sipendi kuzungumzia kuhusu kuwa baba.. lakini sijapanga kuoa kwa sasa kutokana na kwamba kazi yangu inanihitaji sana.. Nitahitaji muda mwingi kuwa karibu na familia yangu, kitu ambacho siwezi kukifanya kwa sasa… Nimelelewa vizuri na wazazi wangu, wamekuwa karibu na mimi wakiniangalia na ndio kitu nahitaji kukifanya kwa familia yangu.. Kwa sasa sihitaji kuoa..”– Flavour.
Flavour-Thankful-600x600
Share:

0 maoni:

MATUKIO YA VIDEO

Kumbukumbu la Blogu

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support

Sample Text