Diamond Platnumz ndio alikua msanii pekee wa Tanzania aliekua akiwania tuzo za Channel 0 2014 zilizotolewa November 29 usiku hapa Johannesburg South Africa ambako alishinda tuzo tatu kati ya nne alizokua anawania.
Unataka kuona jinsi ilivyokua kwenye red carpet kabla ya tuzo kutolewa? Diamond alivyopita na Watanzania wengine? endelea kutazama hizi picha hapa chini.

.

.

.

.

.

.

.

Fally Ipupa

.

.

.

.

.

.

.

.

mwimbaji Donald wa South Africa kwenye interview na mtu wako wa nguvu Millard Ayo

.

Dream team, wakali wa muziki kutokea Durban Afrika Kusini kwenye interview na AyoTVna millardayo.com

.

.

Sauti Sol kwenye interview na millardayo.com na AyoTV

.

.

Mwimbaji/Mtangazaji Vanessa Mdee kutoka Tanzania akiwa na Victoria Kimani na Yvonne kutoka Kenya.

Victoria Kimani on AyoTV

Diamond Platnumz kwenye interview na millardayo.com na AyoTV

.

Ujazo wa jina la Diamond umeongezeka sana, kwenye red carpet alifanya interview na vyombo vingi vya habari kutoka kona mbalimbali za Afrika

Mama Diamond, Diamond mwenyewe pamoja na Zari.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

Diamond akiwa na mameneja wake Bab Tale na Said Fella

.

.

Bab Tale, Diamond na Said Fela wakiwa kwenye picha ya pamoja na staa wa muziki kutoka Nigeria Kcee.

.

Zari, meneja Salam, Diamond na mama Diamond wakiwa wanaingia kwenye tuzo za Channel O

CHANZO CHA HABARI NA MILLARDAYO.COM
0 maoni:
Chapisha Maoni