Director Nisher atupa jiwe gizani unahisi amemlenga nani?
Kupitia mtandao wa Instagram Nisher amepost picha yenye maneno yanayoonekana kuwa ni dongo linalomwendea mtu ambaye hakumtaja ,kwenye picha hiyo Nisher ameandika #Mi hua nacheka sana, Unakuta Mtu anaandika Comment Waraka Mkubwa unaotosha Kua Kitabu cha kuuza, ndani ka-kukosoaaaa weeeeee…. MIMI nasema hiviiii… Kama mtanzania Mzalendo, Mimi najifunza Kwa kuona kazi KALI, sio NYARAKA… so kama una-Kazi umeipiga KALI KULIKO YANGU, TENA NIRIDHIKE KABISAAAA KUA UMEFANYA KULIKO MIMI, NIONYESHE NIJIFUNZE!!!!!!! Ukiniandikia Magazeti unaniongezea Maisha tu manake NTACHEKA HATARI!!!!!!! #NimesemaTU #JUSTSAYING …… ukiona nimekukwaza kwa hii status Ujue nilikua naongea na wewe!!’aliandika Nisher.
Swali,Je dogo hilo linawaendea wakina nani?
0 maoni:
Chapisha Maoni