
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni inayomiliki Meli hiyo ya Mv. Sewol, Kim Han-Sik, amehukumiwa kifungo cha miaka 10 jela baada ya kukutwa na hatia ya kuruhusu meli hiyo kupakia mizigo kuzidi uwezo wake.
Mbali na mkurugenzi huyo, wengine 9 wamehukumiwa miaka 6 kila mmoja na mmoja kati ya watuhumiwa ameachiwa huru kwa kukutwa bila hatia.
0 maoni:
Chapisha Maoni