Jumanne, 4 Novemba 2014

PATA #HEKAHEKA KILA SIKU KUPITIA STATION YA WATU CLOUDS FM NA GEA HABIBU, SASA UMEIPATA HII YA MAALIM KUOA BILA MAHALI NA HATIMAYE KUIBIWA WAKE ZAKE WOTE!!!!

UstaadhHekaheka ya leo inahusu stori iliyopo mtaani kuhusiana na jamaa ambaye anajiita ‘Maalim’, ameshika sana dini na ametumia kivuli cha dini kulaghai wanawake, anawaoa na baadaye anawaibia na kuwatelekeza.
Ndoa ya mwisho ya Maalim imeisha na ametoroka na seti ya vito vya dhahabu vya mke wake, na stori iliyopo ni kuwa amekuwa akiwaibia wanawake zake na kutokomea navyo.
Kwenye Hekaheka ya kesho utawasikia wanawake ambao bwana Maalim amewahi kuwaoa na kuwaacha kwa stairi hiyo hiyo.
Kisikie alichokisimulia Geah Habib kwenye Intro ya Hekaheka hiyo ya leo kupitia 88.5 Clouds FM Dar es Salaam.
SIKILIZA HAPA KIDOGO:

Share:

0 maoni:

MATUKIO YA VIDEO

Kumbukumbu la Blogu

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support

Sample Text