Jumanne, 18 Novemba 2014

AVRIL AMEKUJA KIVINGINE TENA NA KICHUPA HIKI CHA "UKIMUONA"

Screen Shot 2014-11-18 at 12.30.36 PMTanzania ilimfahamu vizuri baada ya hits zake kama mama na ile ya ‘chokoza’ lakini baada ya hapo Avrill ambae ni Mkenya ameendelea kuwa kwenye TV na Radio kutokana na kazi zake nzuri ambazo amekua akizitoa mara kwa mara.
Ukishatazama hii mpya pia usisahau kuachia comment yako ili akipita akutane na maoni ya fans wake. Ambao umazidi kumkubali kwa kazi zake za kila siku.

bonyeza hapa kuangalia...

Share:

0 maoni:

MATUKIO YA VIDEO

Kumbukumbu la Blogu

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support

Sample Text