
Watu wamekuwa wakitoa ‘a.k.a’ hata kwa vitu vingine pia, lakini kali ni hii kutoka Marekani, ambapo ripota wa kituo cha televisheni cha CNN alitoka kali baada ya kutoa a.k.a ya ugonjwa wa Ebola, kwa kuuita “Fear-bola”

Mtangazaji huyo aliongezea kuwa ‘Fear-bola’ ilianza pale ilipogundulika wauguzi 2 walipata maambukizi hayo huko Dallas, na baadaye ikatanda ‘ugonjwa wa hofu’ kila kona ya Marekani.
0 maoni:
Chapisha Maoni