Alhamisi, 30 Oktoba 2014

PICHA NNE ZA CHIDI BENZI BAADA YA KUPATA DHAMANA HAPO JANA MAHAKAMANI.

chidi 3Alishikiliwa na Polisi baada ya kukutwa na dawa za kulevya kwenye uwanja wa ndege Dar es salaam wakati akijiandaa kupanda ndege kwenda Mbeya kwenye show.
Baada ya kufikishwa Mahakamani October 28 2014 na kusomewa mashtaka matatu alirudishwa rumande huku kesi yake ikiahirishwa mpaka November 11 2014 na wakati huohuo pia ikisemekana alikua kwenye mipango ya kupata dhamana.
October 29 2014 Chidi Benz alipata dhamana kwenye Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu baada ya kupata Wadhamini wawili pamoja na shilingi milioni moja.
chidi 4
Chidi 2
Chidi 1                                      PICHA NA MILLARDAYO.COM
Share:

0 maoni:

MATUKIO YA VIDEO

Kumbukumbu la Blogu

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support

Sample Text