
Kutokana na kukutwa na hatia ya kuua bila kukusudia mwishoni mwa wiki iliyopita, masaa machache kuanzia sasa, ndani ya mahakama ya the Palace of Justice iliyopo jijini Pretoria, Pistorious atasomewa hukumu.
Hukumu ambayo Pistorious atakabiliana nayo huenda ikawa kifungo kisichozidi miaka 15 jela, kulipa faini, ama kifungo maalum chini ya idara ya urekebishaji wa tabia, ambapo atakuwa akifanya shughuli za kijamii, au kifungo cha nje.
WWW.SAMERICK.BLOGSPOT.COM Itaendelea kukuhabarisha kwa lolote litakalo jitokeza kwa kina na wakati maalum.....
0 maoni:
Chapisha Maoni