Jumanne, 21 Oktoba 2014

NI PICHA 11 KUTOKA KEKO, NYUMBANI KWENYE MSIBA WA MSANII WA TMK YP

YP IIIAliyekuwa msanii wa muziki wa Bongo Fleva, YP ambaye amefariki usiku wa jana katika hospitali ya Temeke wakati alipokuwa akitibiwa maradhi ya kifua kikuu (TB) anatarajiwa kuzikwa siku ya kesho katika makaburi ya Chang’ombe jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa ndugu wa marehemu, YP ambaye jina lake halisi ni Yessaya Ambilikile ameugua kwa kipindi cha takribani miezi 2 kabla ya kufikwa na umauti hapo jana.
Hizi ni picha 11 za kutoka eneo la Keko, nyumbani alikokuwa akiishi msanii marehemu ambapo taratibu za mazishi zinafanyika.

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
CHANZO CHA PICHA :MILLARDAYO.COM
.
Share:

0 maoni:

MATUKIO YA VIDEO

Kumbukumbu la Blogu

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support

Sample Text