
Kwa mujibu wa ndugu wa marehemu, YP ambaye jina lake halisi ni Yessaya Ambilikile ameugua kwa kipindi cha takribani miezi 2 kabla ya kufikwa na umauti hapo jana.
Hizi ni picha 11 za kutoka eneo la Keko, nyumbani alikokuwa akiishi msanii marehemu ambapo taratibu za mazishi zinafanyika.
CHANZO CHA PICHA :MILLARDAYO.COM
.
0 maoni:
Chapisha Maoni