Jumapili, 12 Oktoba 2014

Miaka 4 Bila Album,Namba 16 Kwenye Wasanii Wa Hiphop Waliolipwa Zaidi 2014,Hili Ndio Jipya Kutoka Kwa Ludacris


LudacrisAkiwa namba 16 kwenye orodha ya wasanii wa hiphop waliolipwa pesa nyingi zaidi mwaka huu kwa kulipwa dola million 8, Ludacris ametangaza ujio wa album mpya kupitia twitter. Ni miaka minne imepita toka ametangaza ujio wa album mpya iliyopewa jinaLudaversal. Album hii inatoka kupitia studio za Def Jam na mpaka sasa tarehe iliyoripotiwa ni March 31, 2015.
Nyimbo zilizotoka ni pamoja na  Jingalin, Representin na Rest of My Life luda
Share:

0 maoni:

MATUKIO YA VIDEO

Kumbukumbu la Blogu

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support

Sample Text