
Taarifa zinasema kwamba wapiganaji hao wamewaua kwa kuwapiga risasi na kuwachinja watu kadhaa katika vijiji vitatu tofauti Kaskazini Mashariki ya Nigeria, na kupandisha bendera yao.
Serikali ya Nigeria imesisitiza kuendelea na nia yake ya kufanya majadiliano na kikundi hicho, licha ya kuwa kimekiuka makubaliani waliyoafikiani mwishoni mwa wiki iliyopita nchini Chad.
0 maoni:
Chapisha Maoni