

Raymond ambae pia ni mchekeshaji na mtani alionyesha uwezo wake kwenye kuigiza sauti ya Nay wa Mitego wakati Tour ya Fiesta ilipotua Mbeya (87.8 CloudsFM) ambapo ukishaisikiliza unaweza kuniachia comment yako kuniambia amempatia kwa asilimia ngapi?

Hii pia ilikua ni siku nyingine ambapo Chege alichukua mic ya CloudsTV na kuanza kuhoji Wakali wengine ndani ya basi, Ommy Dimpoz, Blue, Mh. Temba ni watu wengine poa sana kukaa nao
Miongoni mwa wasanii ambao walichekeshwa sana na utundu huu wa Raymond ni pamoja na Mr. Blue, T.I.D, Linah, Linex na wengine ambao sauti zao wakicheka na kuongea zinasikika kwa mbali.
CHANZO CHA PICHA NA AUDIO:MILLARDAYO.COM
BONYEZA HAPA CHINI KUSIKILIZA......
CHANZO CHA PICHA NA AUDIO:MILLARDAYO.COM
BONYEZA HAPA CHINI KUSIKILIZA......
0 maoni:
Chapisha Maoni