Alhamisi, 28 Agosti 2014
Home »
» ANGELINA JOLIE NA BRAD PITT WAFUNGA NDOA
ANGELINA JOLIE NA BRAD PITT WAFUNGA NDOA
Wacheza filamu maarufu wa Marekani, Angelina Jolie na Brad Pitt wamefunga ndoa. Sherehe ndogo ya faragha iliyofanyika nchini Ufaransa, imemaliza miaka na mikaka ya tetesi za vyombo vya habari, ikiwa watafunga ndoa au la, na lini hilo litafanyika. Tayari wana watoto sita, watatu kati yao wakiwa wa kuasili kutoka Cambodia, Vietnam na Ethiopia.
0 maoni:
Chapisha Maoni