August 27 2014 Arsenal imepata furaha nyingine baada ya kuichapa Besiktas ambapo ushindi huo umeifanya kuingia kwenye hatua ya makundi Champions League.
Ni goli ambalo lilifungwa na Sanchez kwenye dakika ya 45+1 na lilikaa mpaka mwisho na kufanya game ikaisha kwa ushindi huohuo wa 1-0.
Pamoja na ushindi huo kocha Arsene Wenger asema haikuwa rahisi kushinda hiyo mechi.
0 maoni:
Chapisha Maoni