Jumatatu, 18 Agosti 2014

Sasa ni Bunge la katiba Mahakamani.(www.samerick.blogspot.com)


Screen Shot 2014-08-18 at 10.08.07 AMWakati kamati zikiendelea kufanya kazi yake kwenye bunge la katiba Dodoma, bado kumekua na mvutano kuhusu bunge hilo kuendelea au kutoendelea kutokana na Wajumbe wa UKAWA kukosekana.
Wakati hayo yakiendelea kuna ripoti imetoka kwenye gazeti la Mtanzania, ikisema >>bunge hilo sasa kuburuzwa Mahakamani kesho August 19 2014 na chama cha Wanasheria Tanganyika kikitaka Mahakama kuzuia vikao vya bunge hili kuendelea hadi muafaka wa taifa utakapopatikana ili kupata katiba bora kwa Wananchi.
Share:

0 maoni:

MATUKIO YA VIDEO

Kumbukumbu la Blogu

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support

Sample Text