
Baada ya kushikiliwa kwa muda, watoto hawa wameachiwa huru ambapo gazeti la Mwananchi limeripoti.
Alichosema Mwanasheria ni kwamba watoto hawa wameachiwa huru kutokana na umri wao kuwa mdogo na kushindwa kutambua zuri na baya.
Tuta zidi kukuhabarisha kila tutakapo pata habari nzuri na zenye uhakika
0 maoni:
Chapisha Maoni