Jumanne, 19 Agosti 2014

Kuhusu wale watoto wawili waliomuua kwa kumnyonga mwenzao wa miaka mitatu Manyara


Screen Shot 2014-08-19 at 1.09.12 PMKuna ile stori ya Watoto wawili mmoja miaka 10 na mwingine 7 wote kutoka wilayani Hanang mkoani Manyara ambao walikua wanatuhumiwa kumuua mwenzao wa miaka mitatu kwa kumchapa na kisha kumnyonga, ilikua taarifa kubwa sana ndani ya wiki nne zilizopita.
Baada ya kushikiliwa kwa muda, watoto hawa wameachiwa huru ambapo gazeti la Mwananchi limeripoti.
Alichosema Mwanasheria ni kwamba watoto hawa wameachiwa huru kutokana na umri wao kuwa mdogo na kushindwa kutambua zuri na baya.
Tuta zidi kukuhabarisha kila tutakapo pata habari nzuri na zenye uhakika
Share:

0 maoni:

MATUKIO YA VIDEO

Kumbukumbu la Blogu

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support

Sample Text