Picha zote hizi zimepigwa wakati ndege ya Fastjet ikiwa inaondoka Dar es salaam kuelekea Entebbe.
Ni usafiri bora wenye haraka bila kuchelewa pia fastjet ni wenye kumjali mteja na kumpatia huduma zote zinazopatikana kwenye usafiri huo pindi mteja yupo safarini. SAFIRI NA FASTJET SASA KWA BEI POA........................
0 maoni:
Chapisha Maoni