Jumatano, 17 Septemba 2014

#GOODNEWS!! KWA WALE WOTE WATUMIAJI WA USAFIRI WA ANGANI SASA FASTJET WAMERUDI TENA NA SASA NI WANAFIKA HADI UGANDA


Screen Shot 2014-09-17 at 9.33.46 AMShirika la ndege la Fastjet limepata sifa kubwa nchini Tanzania kutokana na kusafirisha kwake abiria na kuanza kuiunganisha Afrika kwa kasi ambapo baada ya kuanzisha safari za nyumbani kati ya Mwanza – Dar, Kilimanjaro – Dar na Mbeya – Dar sasa hivi wamevuka mipaka.
Screen Shot 2014-09-17 at 9.33.38 AMPicha zote hizi zimepigwa wakati ndege ya Fastjet ikiwa inaondoka Dar es salaam kuelekea Entebbe.
Screen Shot 2014-09-17 at 9.33.25 AM
Screen Shot 2014-09-17 at 9.33.12 AM
Screen Shot 2014-09-17 at 9.33.01 AM
Screen Shot 2014-09-17 at 9.32.54 AM
Screen Shot 2014-09-17 at 9.32.37 AM
Screen Shot 2014-09-17 at 9.32.24 AM
Screen Shot 2014-09-17 at 9.33.58 AM
Screen Shot 2014-09-17 at 9.34.08 AM
Ni usafiri bora wenye haraka bila kuchelewa pia fastjet ni wenye kumjali mteja na kumpatia huduma zote zinazopatikana kwenye usafiri huo pindi mteja yupo safarini. SAFIRI NA FASTJET SASA KWA BEI POA........................
Share:

0 maoni:

MATUKIO YA VIDEO

Kumbukumbu la Blogu

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support

Sample Text