Jumatatu, 15 Septemba 2014

HII VIDEO YA SHAA INAONGOZA KWA KUANGALIWA SANA AU KUWA NA VIEW NYINGI SANA YOUTUBE(SUGUA GAGA)

shaa 2Mtandao wa B5 umeripoti kuwa video ya wimbo wa Shaa ‘Sugua Gaga’ ndio video ya bongo Fleva kutoka Tanzania iliyotazamwa zaidi kwenye mtandao wa Youtube.
Rekodi hii ilikuwa ikishikiliwana Diamond platnumz na wimbo wake My Number One iliyotazamwa mara 3,746,408, kwa sasa ya Shaa ‘Sugua Gaga’ imetazamwa mara 3,955,702


Share:

0 maoni:

MATUKIO YA VIDEO

Kumbukumbu la Blogu

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support

Sample Text