Jumanne, 9 Septemba 2014

IDARA YA HEKAHEKA IMEKUJA NA HII TENA,KUHUSU MKE ALIYE MKIMBIA MUME WAKE BILA KUTAJA SABABU....SEPT 8


tlkIngawa mke huyo amekataa kutaja sababu za kumkimbia mume wake na kuamua kuanzisha maisha yake binafsi lakini Mume wake kwa mujibu wa mashuhuda waliofanikiwa kushuhudia tukio hili wamesema kuwa mume bado anampenda mke wake.
Kutokana na visa ambavyo amevifanya mke wake uamuzi wa jamaa aliyochukua ni kumpa talaka,nakuunganisha na Gea Habib usikilize kila kitu kilichotokea kupitia Hekaheka ya leo.
96.5 Clouds Fm inasikika ukiwa Geita.
Bonyeza hapa..........

Share:

0 maoni:

MATUKIO YA VIDEO

Kumbukumbu la Blogu

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support

Sample Text