
Zilikua ni pesa zilizotolewa kama rambirambi kwenye msiba wa Mwanamuziki wa siku nyingi Tanzania mzee Gurumo ambazo zilikua ni milioni 1.1.
Fedha hizo zilikua zitumike kumnunulia Bajaji mke wa Marehemu Pili Kitwana lakini ikashindikana ambapo sasa nafasi hiyo ya Rais inashikiliwa na Stara Thomas kwa muda.
Addo Novemba alivuliwa madaraka hayo mwezi uliopita lakini alipinga uamuzi huo akidai ni batili lakini sasa Katibu wa shirikisho hilo amesema Wanachama wameridhia kumng’oa kwa sababu ameichafua TMA.
0 maoni:
Chapisha Maoni