
Tangu kutwaa madaraka Kenyatta amekua akifanya mambo yasiyo ya kawaida kwa Rais yeyote hasa hapa Afrika yeye ametajwa kua anatumia sana mitandao ya kijamii kuwasiliana na watu, pia amewashangaza wengi kwa kutumia gari moja tu kwenye shughuli zake za kibinafsi.

Wiki hii Rais Kenyatta anatufungia wiki kenya kwa picha za kipekee alizopost akiwa na magwanda ya kijeshi juu chini, ikasababisha iwe ni trend kwenye mitandao na kila mtu akaandika chakwake, mwingine military Swagg, ameamua kwenda somalia mwenyewe, the happiest Army officer na commander in chief na mengineo
0 maoni:
Chapisha Maoni