
Kwenye hii video mpya inayoitwa ‘nimepona‘ iliyofanywa Kigali Rwanda wataonekana watu wawili tu ambao ni yeye na huyu mrembo wa Rwanda tu na inatoka wiki hii.


Kwa mtazamo wa picha hizo unatabiri hiyo video itakuwaje hapo baadae....?
Picha na millardayo.com
0 maoni:
Chapisha Maoni