
Aliyeyazungumza haya ni naibu katibu mkuu wa Chadema John Mnyika ambae pia ni mbunge wa Ubungo na kuongeza kwamba kilichofanywa juzi na bunge ni kitendo kisichovumilika kwa kuvunja sheria maalumu ya bunge kwa kuruhusu upigwaji wa kura kwa mtu akiwa nje ya bunge.
Kabla ya kumsikiliza kwa mapana hapa chini, nataka nikupe baadhi ya mistari iliyoandikwa na baadhi ya Magazeti ya Tanzania September 23 2014 >>>> #MWANANCHI – Bunge kutuma Ofisa Saudi Arabia kusimamia kura #TanzaniaDAIMA – UKAWA waokoa shilingi bilioni 2.3, ni kutokana na kususia bunge, katibu akiri hazijaombwa Serikalini.
CHANZO CHA AUDIO:MILLARD AYO
CHANZO CHA AUDIO:MILLARD AYO
0 maoni:
Chapisha Maoni