
Matrafiki wadai kutakiwa kupeleka Milioni 15 kila mwezi. #HabariLEO
2. Unaambiwa ile stori nyingine kubwa ya Tanzania kuhusu sarafu mpya Tanzania ambayo itakua ya shilingi mia tano, imetambulishwa na itaanza kutumika mwezi ujao ikiwa na sura ya Karume ambapo noti ya shilingi mia tano itaanza kuondolewa taratibu kwa mujibu wa gazeti la #HabariLEO

4. Wafanyakazi wa TTCL wanaidai kampuni yao malimbikizo ya mshahara ambayo ni Bilioni 7.8 kwa miaka saba sasa, Mwajiri atakiwa kuwalipa mara moja. #HabariLEO
5. Namba 5 kwenye hii post ni stori iliyoandikwa na gazeti la #Jangwanilikisema Jerry Muro ndio afisa habari mpya wa Yanga
0 maoni:
Chapisha Maoni