
Kikubwa kinachosababisha vurugu hizi ni mipaka ya hizi nchi kushindwa kujulikana kila mmoja anatakiwa kuishia wapi ambapo pia Waganda ambao wamekua wakiingia Sudan wamekua wakikamatwa na Polisi wa Sudan na kupewa mateso makubwa.
Jeshi la Polisi Uganda limesema kwamba katika vurugu hizi karibu nyumba 15 za raia wa Sudan wanaoishi Uganda zimechomwa moto likiwemo kanisa la kipentekoste linalodaiwa kuwa la raia wa Sudan.

Pia waweza sikiliza hapa chini kupitia mtaarishaji wetu mahiri kabisa millardayo.com
0 maoni:
Chapisha Maoni