Jumatatu, 8 Septemba 2014

PICHA,DRAKE ALIVYOKUTANA NA NEYMAR NA MARCELO MIAMI..


Wachezaji wa Brazil Neymar na Marcelo wamekutana na rapper Drake na kula bata kwa muda mfupi huko Miami. Drake ambaye yupo kwenye tour na Lil Wayne alionekana mwenye furaha kukutana na wanasoka hawa kutoka Brazil. Drake pia amepewa jezi ya Neymar ya Barcelona yenye namba 11 mgongoni.
neymar 4neymar 1neymar 2neymar 3

Share:

0 maoni:

MATUKIO YA VIDEO

Kumbukumbu la Blogu

Recent Posts

Unordered List

Pages

Theme Support

Sample Text