
Kwenye ukurasa wake wa twitter President JK ambae alikua hajaandika chochote toka Aug 6 2014, aliweka hiyo picha hapo juu ikimuonyesha kwenye mkutano na viongozi hao na kuandika >> ‘Mazungumzo na Wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Dodoma, Septemba 8, 2014. Demokrasia ni majadiliano’
0 maoni:
Chapisha Maoni