
‘My Papa’ ni single yake ya pili ambayo video yake kaifanya South Africa ambako ndio makazi yake kwa sasa, amekua akisoma pamoja na kufanya biashara kutumia jina lake.
Feza Kessy ni miongoni mwa mastaa wa Afrika ambao hulipwa zaidi ya shilingi milioni moja za Kitanzania kila anapotuma tweet moja kwenye page yake ya twitter akiisifia bidhaa au kampuni flani, ni biashara ambayo inafanyika sana kwa Afrika kusini.
0 maoni:
Chapisha Maoni